Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu
Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.
Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]
19- Je, waliokufa wanasikia wito?
Hapana! Waliokufa hawasikii wito.
إِنَّكَ لَا تُسْمِعُ الْمَوْتَىٰ
Hakika wewe huwezi kusikilizisha wafu [An-Naml: 80].
وَمَا أَنتَ بِمُسْمِعٍ مَّن فِي الْقُبُورِ ﴿٢٢﴾
Nawe huwezi kuwasikilizisha walioko kaburini. [Faatwir: 22]
((إنَّ لِلَّهِ ملائكةً سَيّاحِين فِي الأرْضِ يُبَلّغوني عَنْ أُمّتي السَّلام)) رواه أحمد
((Hakika Allaah Anao Malaika wanaozunguka katika ardhi wakinifikishia salaam kutoka kwa ummah wangu)) [Ahmad]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7777&title=19-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Je%2C%20waliokufa%20wanasikia%20wito%3F