Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu
Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.
Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]
32-Waislamu wanapaswa wawe wanahukumu mambo yao kwa kufuata nini?
Waislamu wanapaswa wahukumu kufuata Qur-aan na Sunnah ya Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam).
وَأَنِ احْكُم بَيْنَهُم بِمَا أَنزَلَ اللَّـهُ
Na wahukumu baina yao kwa yale Aliyoyateremsha Allaah [Al-Maaidah: 49]
((الله هُوَ الْحكم وَإلَيْهِ المَصِير)) حسن رواه أبو داود
((Allaah ndiye mwenye kuhukumu na Kwake ndio marejeo)) [Hadiyth Hasan ameipokea Abuu Daawuwd]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7791&title=32-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Waislamu%20wanapaswa%20wawe%20wanahukumu%20mambo%20yao%20kwa%20kufuata%20nini%3F