Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu
Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.
Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]
38-Nini jukumu la Rasuli?
Jukumu la Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) ni kubalighisha ujumbe.
يَا أَيُّهَا الرَّسُولُ بَلِّغْ مَا أُنزِلَ إِلَيْكَ مِن رَّبِّكَ ۖ
Ee Rasuli! Balighisha yale yaliyoteremshwa kwako kutoka kwa Rabb wako. [Al-Maaidah: 67]
((أللّهم هَلْ بلّغت؟ اللّهم اشهد)) مسلم
جواباً لقول الصحابة نشهد أنّك قد بلّغت
((Ee Allaah! Je nimebalighisha? Ee Allaah Shuhudia)) [Muslim]
Jibu la Maswahaba walosema kuwa: Tunashuhudia kuwa umebalighisha.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7798&title=38-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Nini%20jukumu%20la%20Rasuli