Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu
Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.
Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]
46-Je, Inafaa kufanya urafiki na makafiri na kuwasaidia?
Hapana! Haifai kufanya urafiki na kuwaandama makafiri na kuwasaidia.
وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ ۗ
Na yeyote atakayewafanya marafiki wao wandani; basi hakika yeye ni miongoni mwao. [Al-Maaidah: 51]
((إنَّ آلَ أَبِي فُلَانٍ لَيْسُوا لِي بأولياء)) متّفق عَلَيهِ
لأنّهم من الكفّار
((Hakika watu wa kabila fulani si vipenzi vyangu))[Al-Bukhaariy, Muslim]
Kwa sababu wao ni makafiri.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7806&title=46-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Je%2C%20Inafaa%20kufanya%20urafiki%20na%20makafiri%20na%20kuwasaidia%3F