Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu
Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.
Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]
47-Nani Waliyy wa Allaah?
Waliyy wa Allaah ni Muumini mwenye taqwa mno na Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa).
أَلَا إِنَّ أَوْلِيَاءَ اللَّـهِ لَا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ﴿٦٢﴾
Tanabahi! Hakika vipenzi wa Allaah hawana khofu juu yao, na wala hawatohuzunika
الَّذِينَ آمَنُوا وَكَانُوا يَتَّقُونَ﴿٦٣﴾
Ambao wameamini na wakawa wana taqwa. [Yuwnus: 63]
((إِنَّمَا وَلِيِّيَ اللهُ وَصَالِحُ الْمُؤْمِنِينَ)) متّفق عَلَيهِ
((Bali yeye ni kipenzi cha Allaah na Muumini mwema)) [Al-Bukhaariy, Muslim]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7807&title=47-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Nani%20Waliyy%20wa%20Allaah%3F%20%20