Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu
Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.
Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com [1]
59-Nini hukmu ya anayesema kuwa Qur-aan imepotoshwa?
Anayesema kuwa Qur-aan impotoshwa ni kafiri.
إِنَّا نَحْنُ نَزَّلْنَا الذِّكْرَ وَإِنَّا لَهُ لَحَافِظُونَ ﴿٩﴾
Hakika Sisi Tumeteremsha Adh-Dhikra (Qur-aan) na hakika Sisi bila shaka ndio Wenye kuihifadhi. [Al-Hijr: 9]
((وَأَنْزَلْتُ عَلَيْكَ كِتَابًا لاَ يَغْسِلُهُ الْمَاءُ تَقْرَؤُهُ نَائِمًا وَيَقْظَانَ)) مسلم - كتاب الجنة وصفة نعيمها وأهلها
((Na Nimekuturemshia Kitabu ambacho hakioshelewi mbali na maji ili ukisome katika hali ya kulala na kuwa macho)) [Muslim – Kitabu cha Jannah, wasifu wake, neema zake na watu wake]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7819&title=59-Mukhtasari%20Aqiydah%20Ya%20Muislamu%3A%20Nini%20hukmu%20ya%20anayesema%20kuwa%20Qur-aan%20imepotoshwa%3F