Mlango Wa 56
بَابٌ لا يُسْأَلُ بِوَجْهِ اَللَّهِ إِلاَّ الْجَنَّةُ
Kisiombwe Chochote Kwa Wajihi Wa Allaah Isipokuwa Jannah
عَنْ جَابِرٍ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اَللَّهِ (صَلَّى اَللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ): ((لاَ يُسْأَلُ بِوَجْهِ اَللَّهِ إِلاَّ الْجَنَّةُ)) رَوَاهُ أَبُو دَاوُدَ
Imepokelewa kutoka kwa Jaabir (رضي الله عنه) kwamba Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) amesema: ((Kisiombwe chochote kwa Wajihi wa Allaah isipokuwa Jannah)) [Abuu Daawuwd]
Masuala Muhimu Yaliyomo:
1-Makatazo ya kuomba kitu kwa Wajihi wa Allaah (سبحانه وتعالى) isipokuwa Jannah ambayo jambo kuu kabisa.
2-Kuthibitisha Sifa ya Allaah (سبحانه وتعالى) kuwa Ana Wajihi.
Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7912&title=56-Kitaab%20At-Tawhiyd%3A%20Kisiombwe%20Chochote%20Kwa%20Wajihi%20Wa%20Allaah%20Isipokuwa%20Jannah