Aayah Na Mafunzo
Al-Maaidah
Anayeua Kwa Dhulma Atabeba Dhambi Za Mwana Wa Kwanza Wa Aadam
Alhidaaya.com [1]
فَطَوَّعَتْ لَهُ نَفْسُهُ قَتْلَ أَخِيهِ فَقَتَلَهُ فَأَصْبَحَ مِنَ الْخَاسِرِينَ ﴿٣٠﴾
Basi nafsi yake ikamwezesha kwa wepesi kumuua ndugu yake, akamuua na akawa miongoni mwa waliokhasirika. [Al-Maaidah: 30]
Mafunzo:
Kutoka kwa Ibn Mas’uwd (رضي الله عنه) ya kwamba Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) amesema: “Hakuna nafsi yeyote inayouliwa kwa dhulma isipokuwa yule mwana-Aadam wa kwanza atapata sehemu yake ya madhambi (ya mauaji) kwani yeye ndiye wa mwanzo kuanzisha mauaji (alipomuua nduguye).” [Al-Bukhaariy na Muslim]
Links
[1] http://alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8207&title=030-Aayah%20Na%20Mafunzo%3A%20Anayeua%20Kwa%20Dhulma%20Atabeba%20Dhambi%20Za%20Mwana%20Wa%20Kwanza%20Wa%20Aadam