Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)
Kuomba Kuhesabiwa Hesabu Nyepesi Siku Ya Qiyaamah
Alhidaaya.com [1]
اللَّهُمَّ حَاسِبْنِي حِسَابًا يَسِيرًا
Allaahumma haasibniy hisaaban -yasiyraa
Ee Allaah nihesabie hisabu iliyo nyepesi
Hadiyth ya ‘Aaishah (رضي الله عنها) alimuuliza Rasuli wa Allaah (سبحانه وتعالى) alipomaliza kuisoma du’aa katika Swalaah: “Ipi hesabu iliyo nyepesi?” Akasema: ((Kwamba [Allaah] Atatazama kitabu chake [kilichorekodiwa ‘amali] kisha Amsamehe kwani hakika mwenye kuhojiwa hesabu siku hiyo ee ‘Aaishah ameangamia, na kila kinachomsibu Muumini Allaah عز وجل Humfutia ([dhambi] japo ikiwa ni mwiba umchomao)) [Imaam Ahmad]
Links
[1] http://alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8285&title=014-Du%E2%80%99aa%20Za%20Nabiy%20%28%D8%B5%D9%84%D9%89%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%20%D8%B9%D9%84%D9%8A%D9%87%20%D9%88%D8%A2%D9%84%D9%87%20%D9%88%D8%B3%D9%84%D9%85%29%3A%20Kuhesabiwa%20Hesabu%20Nyepesi%20Siku%20Ya%20Qiyaamah