Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)
Kuomba Kinga Ya Uoga, Ubakhili, Umri Wenye Uovu Fitnah Za Moyo, Adhabu Za Kaburi
Alhidaaya.com [1]
اللَّهُمَّ إِنِّي أَعُوذُ بِكَ مِنْ الْجُبْنِ، وَالْبُخْلِ، وَسُوءِ الْعُمُر، وَفِتْنَةِ الصَّدْر، وَعَذَابِ الْقَبْر
Allaahumma inniy a’uwdhu bika minal-jubni, wal-bukhli, wa suuil-‘umri wa fitnatisw-swadri, wa ‘adhaabil-qabri
Ee Allaah, hakika mimi najikinga Kwako uoga na ubakhili na umri wenye uovu na fitnah za moyo na adhabu ya kaburi.
[An-Nasaaiy, Sunan Abiy Daawuwd kwa usimulizi kuwa Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa akijikinga nayo mambo hayo].
Links
[1] http://alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8334&title=061-Du%27aa%20Za%20Nabiy%20%28%D8%B5%D9%84%D9%89%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%20%D8%B9%D9%84%D9%8A%D9%87%20%D9%88%D8%A2%D9%84%D9%87%20%D9%88%D8%B3%D9%84%D9%85%29%3A%20Kinga%20Ya%20Uoga%2C%20Ubakhili%2C%20Uovu%20Wa%20Umri%2C%20Fitna%20Za%20Moyo%2C%20Adhabu%20Za%20Kaburi