Kupiga Punyeto Mchana Wa Mwezi Wa Ramadhwaan
Shaykh 'Abdul-'Aziyz Aal Ash-Shaykh (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Muuliza kutoka Canada anauliza, nimetoa Manii (punyeto) mchana wa Ramadhwaan hali ya kuwa nimefunga. Nifanye nini?
JIBU:
(Alichofanya ni haraam) na ni juu yake alipe siku hio. Kwa kuwa kutoa manii kwa makusudi haijuzu. Allaah Anasema: "Mwenye kufunga anatakiwa kuacha chakula chake, kinywaji chake na matamanio yake kwa ajili Yangu".
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8410&title=03-Shaykh%20%27Abdul-%27Aziyz%20Aal%20Ash-Shaykh%3A%20Kupiga%20Punyeto%20Mchana%20Wa%20Mwezi%20Wa%20Ramadhwaan%20