Sehemu Gani Inapaswa Kutekelezwa I’itikaaf?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) na Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
09-. Sehemu Gani Inapaswa Kutekelezwa I’itikaaf?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:
Sehemu inayopaswa kutekelezwa I’tikaaf ni Misikitini ambayo inasimamishwa Swalaah za Jamaa’ah.
[Majmu’w Al-Fataawaa (15/42)]
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:
Katika kila Msikiti, ikiwa ni Misikiti inayoswaliwa Ijumaa au katika Misikiti isiyoswaliwa humo. Lakini iliyo bora ni iwe katika Misikiti inayoswalishwa humo (Jamaa’ah).
[Majmuw’ Al-Fataawaa (20/155)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8581&title=09-Imaam%20Ibn%20Baaz%20na%20Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Sehemu%20Gani%20Inapaswa%20Kutekelezwa%20I%E2%80%99itikaaf%3F