Swalaah Ya Ijumaa Ni Fardhi Kwa Kila Mwanamme
Haijuzu Kuikhalifu Hata Ukikatazwa Na Mwajiri Wako
Al-Lajnah Ad-Daaimah
Swalaah ya Ijumaa ni fardhi kwa kila mwanamme mwenye kukafilika katika ‘Ibaadah, mkazi, wala haikupasi kuikhalifu kwa sababu ya kazi hata kama mwajiri wako atakukataza.
[Al-Lajnah Ad-Daaimah (8/185)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8798&title=02-Swalaah%20Ya%20Ijumaa%20Ni%20Fardhi%20Kwa%20Kila%20Mwanamme%20Haijuzu%20Kuikhalifu%20Hata%20Ukikatazwa%20Na%20Mwajiri%20Wako