48-Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti: Kumlipia maiti saumu
Kumlipia maiti saumu:
Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) amesema, “ Atakayekufa ilhali kaacha deni la funga basi na alipiwe na walii wake.” (Bukhari na Muslim)
Katika sahihi mbili tunasoma: kuwa mwanamke fulani alisafiri baharini akapanda chombo akanadhiria kwa Mwenyezi Mungu kuwa akimuokoa atafunga mwezi mzima, Mwenyezi Mungu akamuokoa lakini hakufunga hadi alipofariki. Wakaja jamaa zake wa karibu
