Skip navigation.
Home kabah

Saladi Ya Viazi Na Mchanganyiko wa Mboga

 

 

Vipimo

 

 

 

Viazi (mbatata)                                            5 vitano

 

Ngegere, karoti                                             ½ kijiko cha kikombe

 

Maharage mabichi na mahindi mabichi           ½ kijiko cha kikombe

 

Mayonezi                                                     5 Vijiko vya supu                       

 

Pilipili manga                                                 ½ kijiko cha chai

 

  

Namna Ya Kutayarisha Na Kupika

 

 

  1. Menya viazi katakata vipande  kisha changanya na vitu vyote vichemshe na chumvi kiasi

 

  1. Viache vipowe kisha mimina ndani ya bakuli kubwa.

 

 

  1. Changanya mayonezi na pilipili manga tayari kuliwa na mkate au nyama ya kuchoma.

  

  1. Unaweza kuhifadhi kwenye friji kwa matumizi ya siku ya pili.