Skip to main content

Imaam Ibn Al-Qayyim: Miongoni Mwa Neema Neema Za Ajabu Ni Neema Ya Kusahau

Kauli Za Salaf: Jamii

Miongoni Mwa Neema Neema Za Ajabu Ni Neema Ya Kusahau

Imaam Ibn Al-Qayyim  (Rahimahu Allaah)

www.alhidaaya.com

Imaam Al-Haafidhw Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:

"Na katika neema za ajabu ni neema ya kusahu; kwani ingekuwa si kusahau, asingepuuzia jambo, na wala zisingemalizika kwake huzuni, na wala asingejiliwaza kwa msiba, na wala zisingekufa kwake huzuni."

[Miftaahu Daar As-Sa’aadah (236)]