Imaam Ibn Baaz: Hukmu Ya Kuchinja Kwa Kutumia Mkono Wa Kushoto

  Kuchinja Kwa Kutumia Mkono Wa Kushoto

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Kuhusu Udhw-hiya, mimi hutumia kwa vile kawaida siwezi kutumia mkono wa kulia, inafaa?  

 

JIBU:

 

Ikiwa utachinja kufuata shariy’ah za kuchinja hakuna neno, AlhamduliLlaah.

 

[Mawqi’ Ar-Rasmiy li Imaam Ibn Baaz]

 

 

 

 

Share