Al-Lajnah Ad-Daaimah: Swalaah Ya Ijumaa Ni Fardhi Kwa Kila Mtu (Mwanamme)

Swalaah Ya Ijumaa Ni Fardhi Kwa Kila Mtu (Mwanamme)

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah

 

www.alhidaaya.com

 

 

Swalaah ya Ijumaa ni Fardhw ‘Ayn (Fardhi kwa kila mtu mwanamme) wala haijuzu kuiacha kwa sababu ya kazi au masomo  na sababu kama hizo.

Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):

 

“Na yeyote anayemcha Allaah; Atamjaalia njia ya kutoka (shidani).”

 

 

[Al-Lajnah Ad-Daaimah (8/184)]

 

 

Share