Skip to main content

Imaam Al-Barbahaariyy : Kuficha Nasaha Kwa Waislamu Katika Mambo Ya Dini Yao Ni Kuwaghushi

Kuficha Nasaha Kwa Waislamu Katika Mambo Ya Dini Yao Ni Kuwaghushi

Imaam Al-Barbahaariyy (Rahimahu Allaah)

www.alhidaaya.com

Imaam Al-Barbahaariyy (Rahimahu Allaah) amesema:

“Wala haipasi kuficha kuwanasihi Waislamu kuhusu kufanya kwao wema, au maovu katika mambo ya Dini, na atakayeficha basi atakkuwa ameghushi Waislamu.”

[Sharh As-Sunnah (Uk. 76)]