Skip to main content

Imaam Al-Albaaniy: Dini Si Kwa Kutumia Akili Au Kwa Hisia Za Moyo, Bali Ni Kufuata Hukmu Za Allaah Na Rasuli Wake

Kauli Za Salaf: Manhaj

Dini Si Kwa Kutumia Akili Au Kwa Hisia Za Moyo, Bali Ni Kufuata Hukmu Za Allaah Na Rasuli Wake

Imaam Al-Albaaniy (Rahimahu Allaah)

www.alhidaaya.com

Amesema Imaam Al-Albaaniy (Rahimahu Allaah):

“Dini si kwa kutokana na akili (ya mtu) au hisia za moyo, bali ni kufuata hukmu za Allaah katika Kitabu Chake na hukmu za Rasuli Wake katika Sunnah na Hadiyth zake. “

[Al-Hudaa Wan-Nuwr (530)]