35-Fadhila Za Laa Ilaaha Illa-Allaah: Maneno Manne Ayapendayo Allaah: Subhaana Allaah, Wal-HamduliLLaah Wa Laa Ilaaha Ilaa-Allaah

Hadiyth Kuhusu Fadhila Za Laa Ilaaha Illa Allaah

 

www.alhidaaya.com

 

35-Maneno Manne Ayapendayo Allaah: Subhaana Allaah,

Wal-HamduliLLaah Wa Laa Ilaaha Ilaa-Allaah…..

 

 

عَنْ سَمُرَةَ بْنِ جُنْدَبٍ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم: ((أَحًبُّ الْكَلامِ إِلَى اللَّهِ أَرْبَعٌ: سُبْحَانَ اللَّهِ، وَالْحَمْدُ لِلَّهِ، وَلا إِلَهَ إِلا اللَّهُ، وَاللَّهُ أَكْبَرُ، لا يَضُرُّكَ بِأَيِّهِنَّ بَدَأْتَ))

Imepokelewa kutoka kwa Samurah Bin Jundab kwamba Rasuli wa Allaah  (صلى الله عليه وسلم) amesema: ((Bora ya maneno kwa Allaah ni manne:

 

سُبْحَانَ اللهِ، والْحَمْدُ للهِ، وَلاَ إِلَهَ إَلاَّ اللهُ واللهُ أَكْبَرُ  

 

Subhaana-Allaah, walhamduliLLaah, wa laa ilaaha illa Allaah, wa Allaahu Akbar

Utakasifu ni wa Allaah na Himdi Anastahiki Allaah, na hapana mwabudiwa wa haki ila Allaah, na Allaah ni Mkubwa.

 

… si vibaya kuanza kwa lolote katika haya)) [Muslim (3/1685)] 

 

 

Share