022-Hiswnul-Muslim: Du’aa Ya Tashahhud

Hiswnul-Muslim

022-Du’aa Ya Tashahhud

www.alhidaaya.com

 

 Bonyeza Hapa Usikilize

 

 

[52]

 

التَّحِيّـاتُ للهِ وَالصَّلَـواتُ والطَّيِّـبات، السَّلامُ عَلَيـكَ أَيُّهـا النَّبِـيُّ وَرَحْمَـةُ اللهِ وَبَرَكـاتُه، السَّلامُ عَلَيْـنا وَعَلـى عِبـادِكَ الصَّـالِحـين، أَشْـهَدُ أَنْ لا إِلـهَ إِلاّ الله، وَأَشْـهَدُ أَنَّ مُحَمّـداً عَبْـدُهُ وَرَسـولُه

 

At-tahiyyaatu liLLaahi, was-swalawaatu, wat-twayyibaatu, Assalaamu ‘alayka ayyuhan-Nnabiyyu warahmatu-Allaahi wa Barakaatuh, Assalaamu ‘alaynaa wa ’alaa ‘IbaadiLLaahis-swaalihiyn. Ash-hadu an-laa ilaaha illa-Allaah wa ash-hadu anna Muhammadan ‘Abduhu wa Rasuwluhu

 

Maamkuzi mema na Rehma na mazuri yote (ni kwa Allaah), amani ziwe juu yako ee Nabiy na Rehma za Allaah na Baraka Zake,  amani iwe juu yetu na juu ya waja wema wa Allaah walio wema. Nashuhudia kwamba hapana mwabudiwa wa haki ila Allaah, na nashuhudia kwamba Muhammad ni mja Wake na ni Rasuli Wake[1]

 

 

 

[1]Hadiyth ya ‘Abdullaah bin Mas-‘uwd (رضي الله عنه)  - Al-Bukhaariy pamoja na Al-Fat-h (2/311), Muslim (1/301).

 

 

Share