Imaam Ibn Baaz: Kufukia Kucha Nini Hukmu Yake?
Kufukia Kucha Nini Hukmu Yake?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema katika kujibu swali:
“Jambo hili (la kufukia kucha) halina asili (katika dini), mtu akikata kucha zake anaweza kuzitupa na hakuna neon, hivyo hakuna haja ya kuzifukia”
[Fataawaa Nuwr ‘Ala Ad-Darb (5/6)]
