11-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Wakati Wa Kutamka Du’aa Ya Kuchinja Na Sifa Yake

 

Wakati Wa Kutamka Du’aa Ya Kuchinja Na Sifa Yake

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Ni wakati gani wa kutamka hayo (du’aa ya kuchinja) na sifa yake ni ipi?

 

JIBU:

 

 

Wakati wa kusema hayo (du’aa ya kuchinja) ni pindi mnyama anapokalishwa (kwa ajili ya kuchinjwa) na sifa yake ni kusema:

بسم الله والله اكبر، اللهم هذا منك ولك اللهم  هذا عن فلان  

((BismiLLaah, wa Allaahu Akbar, Ee Allaah hii ni kutoka Kwako na kwa ajili Yako, Ee Allaah hii ni kutoka kwa fulani))

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/56)]

 

Share