085-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Ukaraha wa Kuweka Mkono Kiunoni katika Swalaah

 

Riyaadhw Asw-Swaalihiyn

باب كراهة وضع اليد عَلَى الخاصرة في الصلاة

085-Mlango Wa Ukaraha wa Kuweka Mkono Kiunoni katika Swalaah

 

Alhidaaya.com

 

عن أَبي هريرة رضي الله عنه: أنَّ رسولَ اللهِ صلى الله عليه وسلم نَهَى عن الخَصْرِ في الصَّلاَةِ . متفق عَلَيْهِ .

Amesema Abu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu): Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amekataza kuweka mkono kiunoni katika Swalaah." [Al-Bukhaariy, Muslim, Abu Daawuwd, At-Tirmidhiy na An-Nasaaiy]

 

 

Share