099-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Kukatazwa Kukojoa na Mfano Wake Katika Maji Yaliyotua

 

Riyaadhw Asw-Swaalihiyn

باب النهي عن البول ونحوه في الماء الراكد

099-Mlango Wa Kukatazwa Kukojoa na Mfano Wake Katika Maji Yaliyotua

 

Alhidaaya.com

 

عن جابر رضي الله عنه : أنَّ رسولَ اللهِ صلى الله عليه وسلم نَهَى أنْ يُبَالَ في المَاءِ الرَّاكِدِ . رواه مسلم .

Imepokewa kutoka kwa Jaabir (Radhwiya Allaahu 'anhu) kuwa Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amekataza (mtu yeyote) kukidhi haja yake ndani ya maji yaliyotuama. [Muslim]

 

 

Share