Mashairi: Adui Wa Allaah

 

Muhammad Faraj Saalim As-Sa’ay

 

Bwana Mwenye Kumilki

Mayahudi wahiliki

Watoweke wasibaki

Penye uso wa duniya

 

 

Hawa wasio na haya

Waovu tena wabaya

Adui wa insaniya

Na adui wako piya

 

 

Nchi wanaiunguza

Roho wanaangamiza

Nyumba wanateketeza

Ghaza inaangamiya

 

 

Vijana wapukutika

Vizuka waongezeka

Watu wanamahanika

Mayatima wanaliya

 

 

Wanapiga kwa roketi

Skuli na marikiti

Kila pahali maiti

Kote wameshaenya

 

 

Waisilamu jasiri

Wapigwa na makafiri

Hapana alofikiri

Kwenda kuwasaidiya

 

 

Watu wote wamegoma

Wengine wapiga ngoma

Na wengine wakoroma

Hawataki kusikiya

 

 

Damu hii ni nzito

Inakwenda kama mito

Wazee hata watoto

Wanawake nao piya

 

 

Hawana wanachojali

Hawana hata muhali

Hata mahospitali

Pia wanashambuliya

 

 

Ya Ilahi ya Manani

Irudishe yetu shani

Turudi kama zamani

uma ulotanguliya

 

 

Neno letu liwe moja

Pasiwepo na kungoja

Tuwapige kwa pamoja

Kwa uwezo wa Jaliya

 

 

Kama yule mwanamama

Alotekwa na waroma

Waa Muutasima

Kwa sauti aliliya

 

 

Muutasima akasema

Ewe mbwa wa Waroma

Umuache huyo mama

Ama utajijutiya

 

 

Jeshi akasimamisha

Tena kubwa la kutisha

Warumi hawakubisha

Wakaikunja mikiya

 

 

Mola wetu ya Manani

Turudishie imani

Turudi kama zamani

Wakati wa Salafiya

 

 

Tuungane kwa pamoja

Neno letu liwe moja

Sote tuwe nguvu moja

Enzi zetu kurudiya

 

 

Adui atuhofiye

Iondoke miye miye

Kila kitu kiwe siye

Uma wa Muhamadiya

 

 

Aridhi tuwashe moto

Wakubwa pia watoto

Kwa risasi na kokoto

Tuanze kushambuliya

 

 

Tulikuwa maamiri

Kwao hawa makafiri

Wakifuata amri

Kila tunachowambiya

 

 

Hata hivyo hatukuwa

Tukichinja na kuua

Kila mtu alikuwa

Na haki ilotimiya

 

 

Sasa wao wanatamba

Wanajifanya mamwamba

Wamesahau yakwamba

Inazunguka duniya

 

 

Khaybari ya Yahudi

Tulikulaza kifudi

Jeshi letu litarudi

La Muhamadi Nabiya

 

 

Hamadi alishasema

Naye mkweli daima

Hakisimami Qiyaama

Aridhi itarejeya

 

 

Hiyo ni ahadi yake

Kutoka kwa Mola wake

Mkitaka msitake

WaLlaahi mtakimbiya

 

 

Mti wa gharqadi

Ni mti wa Mayahudi

Nyuma yake itabidi

Mjifiche na kuliya

 

 

Kisha humo mtatoka

Huku mukipapatika

Hamuwezi kutoroka

Wala hata kukimbiya

 

 

Watu hawa maluuni

Mungu Ameshawalani

Ndani ya Quruani

Na hadithi za Nabiya

 

 

WaLlaahi ninaandika

Huku jasho lanitoka

Na moyo kuungulika

Kwa haya yanotokeya

 

 

 

 

 

Share