Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Hikmah Ya Istighfaar Baada Ya Swalaah

 

Hikmah Ya Istighfaar Baada Ya Swalaah

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Imaam Muhammad bin Swaalih Al-'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah):

 

 

"Hikmah katika kufanya Istighfaar baada ya Swalaah, ni kwamba, mwana Aadam hakosekani na mapungufu ndani ya Swalaah yake, kwa ajili hiyo, kawekewa shariy'ah ya kufanya Istighfaar mara tatu (ili apate kusamehewa yale mapungufu yaliyomo ndani ya Swalaah yake)."

 

 

[Al-Fataawa 13/290]

 

 

 

Share