Shaykh Fawzaan: Ramadhwaan: Swawm Si Kuacha Kula Na Kunywa Pekee

 

 Swawm Si Kuacha Kula Na Kunywa Pekee

 

Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

Shaykh Swaalih Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah) amesema:

 

 

"Swawm (funga) si tu kuacha chakula na kinywaji na matamanio ya kula na kunywa.

Lakini pamoja na (kuacha hayo), ni kujizuia na yote yaliyoharamishwa na Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa)."

 

 

[Majaalis Shahr Ramadhwaan Al-Mubaarak, uk. 15]

 

 

 

 

Share