Shaykh Fawzaan: Utamjuaje Mtu Wa Matamanio (Bid'ah)?

 

Utamjuaje Mtu Wa Matamanio?

 

 

 

Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Shaykh Swaalih Al-Fawzaan (Hafidhwahu-Allaah) amesema:

 

“Utakapomwambia mtu wa Haki pindi anapokosea: ‘Umekosea dalili, umekosea Sunnah’. Basi atakubali (kukosolewa) kwa sababu yeye anakusudia Haki, na wala si lengo lake kushinda kwa rai yake.

 

Ama utakapomwambia mtu wa Matamanio (bid’ah): ‘Umekosea’. Basi utamuona anakasirika na anakuwa mkali. Na hii ni alama ya watu wa matamanio (bid’ah). Kila mmoja wao hutaka kushinda kwa ajili ya matamanio yake.”

 

 

[Sharh As-Sunnah Lil-Barbahaariy, uk. 56]

 

Share