Samaki Wa Changu Wa Kukaanga
Vipimo
Samaki changu - 3 wa kiasi
Bizari mchuzi - 2 vijiko cha supu
Pilipili nyekundu ya unga - 1 kijiko cha chai
Ndimu - 2 kamua
Chumvi - kisia
Mafuta ya kukaangia - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kufurahika)