Imaam Ibn Taymiyyah: Dini Ya Kiislamu Ina Misingi Miwili

 

Dini Ya Kiislamu Ina Misingi Miwili

 

Ibn Taymiyyah  (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com 

 

 

 Ibn Taymiyyah (Rahimahu-Allaah) amesema:

 

“Dini Ya Kiislamu imejengwa kwa asili mbili nazo ni uthibitisho wa Shahaadah kwamba laa ilaaha illa-Allaah na kwamba Muhammad ni Rasuli wa Allaah.” 

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (1/310)

 

Share