Shaykh Fawzaan: Kunyoa Ndevu Kwa Hoja Ya Kwamba Makafiri Na Wao Wanafuga Ndevu

 

Kunyoa Ndevu Kwa Hoja Ya Kwamba Makafiri Na Wao Wanafuga Ndevu

 

Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Baadhi ya watu wanasema mayahudi au baadhi ya washirikiana wanafuga ndevu zao hivi sasa na sisi tumeamrishwa kwenda kinyume nao...

 

 

JIBU:

 

Hatukuamrishwa kwenda kinyume nao katika kufuga ndevu. Tumeamrishwa kwenda kinyume nao katika kunyoa.

Ama wakiachia ndevu zao basi wameafikiana na sisi. Kafiri ambaye amefuga ndevu zake ana sura bora kuliko kafiri ambaye ananyoa ndevu zake.

 

 

[Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan

http://www.alfawzan.af.org.sa/node/5570]

 

 

Share