Shaykh Fawzaan: Wataingia Peponi Watu Ambao Mioyo Yao Ni Mfano Wa Mioyo Ya Ndege

Wataingia Peponi Watu Ambao Mioyo Yao Ni Mfano Wa Mioyo Ya Ndege

 

Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Nimesoma Hadiyth ambayo inasema: “Wataingia Peponi watu mioyo yao ni mfano wa mioyo ya ndege…”, nini maana yake?

 

 

JIBU:

 

Maana yake, (mioyo hiyo) haina husda. Ni (mioyo) mitupu isiyo na husda (ndani yake). Ni mioyo kama ya ndege; ndio, na Hadiyth imepokelewa kutoka kwa Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).

 

 

[http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/13800]

 

 

Share