Imaam Ahmad: Misingi Ya Sunnah Ni Kushikamana Na Sunnah Na Kuacha Bid’ah

Misingi Ya Sunnah Ni Kushikamana Na Sunnah Na Kuacha Bid’ah

 

Imaam Ahmad (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

Imaam Ahmad (Rahimahu-Allaah) amesema:

 

“Misingi ya Sunnah kwetu sisi ni kushikamana na yale waliyokuwa nayo Maswahaba wa Mtume, kuwafuata na kuacha bid'ah kwani kila bid'ah ni upotevu.”

 

 

[Ibn Ya’la al-Fara’, Twabaqaatul Hanaabilah, Mj. 1, uk.241] 

 

Share