Shaykh Fawzaan: Kujifunza Lugha Za Kigeni Kwa Ajili Ya Da’wah

 

 Kujifunza Lugha Za Kigeni Kwa Ajili Ya Da’wah

 

Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

Nini hukmu ya kujifunza lugha za kigeni kwa ajili ya da’wah?

 

 

JIBU:

 

 

Ikiwa kujifunza ni kwa ajili ya hitajio la muhimu, basi hakuna ubaya kujifunza kwa ajili ya haja muhimu. Ama kujifunza tu kwa sababu ya kupenda tu, basi hairuhusiwi.  

 

[Sharh ‘Umdatil-Fiqh Shariytw (4, Swali Namba 43)]

 

 

 

 

 

Share