Imaam Ibn Taymiyyah : Undugu Wa Kiislamu Una Nguvu Zaidi Kuliko Undugu Wa Uhusiano

Undugu Wa Kiislamu Una Nguvu Zaidi Kuliko Undugu Wa Damu

 

Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Ukaribu wa Dini ni mkubwa zaidi kuliko ukaribu wa uhusiano wa damu. Na ukaribu baina ya nyoyo na roho ni mkubwa zaidi kuliko ukaribu wa viwiliwili."

 

 

[Minhaaj As-Sunnah (7/78)]

 

 

Share