Imaam Ayyuwb As-Sakhtiyaan - Watu Wa Bid'ah Ni Khawaarij
Watu Wa Bid'ah Ni Khawaarij
Imaam Ayyuwb As-Sakhtiyaan (Rahimahu Allaah) alikuwa akiwaita watu wa bid'ah kuwa ni Khawaarij na akisema:
"Hakika Khawaarij wametofautiana kuhusiana na majina yao, lakini wamekubaliana kuhusiana na upanga (kumuasi Mtawala)."
[Ash-Shariy'ah, 2057, Sharh As-Sunnah, uk. 233, I'tiqaad Ahl As-Sunnah, uk. 143]
