Skip to main content

Mwanamke Anafaa Kuchinja?

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

www.alhidaaya.com

SWALI:

Je Mwanamke Anaruhusiwa Kuchinja Kichinjwa?

JIBU:

Inajuzu mwanamke kuchinja kichinjwa kwani asili ni mwanamke kushirikiana na mwanamme katika ‘Ibaadah.

[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/81)]