05-Imaam Ibn 'Uthaymiyn; Mwanamke Anafaa Kuchinja?

 

Mwanamke Anafaa Kuchinja?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

 

Je Mwanamke Anaruhusiwa Kuchinja Kichinjwa?

 

 

JIBU:

 

 

Inajuzu mwanamke kuchinja kichinjwa kwani asili ni mwanamke kushirikiana na mwanamme katika ‘Ibaadah.

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/81)]

 

 

Share