017-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Kukatazwa Hasadi

 

Riyaadhw Asw-Swaalihiyn

باب تحريم الحسد

017-Mlango Wa Kukatazwa Hasadi

 

Alhidaaya.com

 

قال الله تَعَالَى :

أَمْ يَحْسُدُونَ النَّاسَ عَلَىٰ مَا آتَاهُمُ اللَّـهُ مِن فَضْلِهِ ۖ  ﴿٥٤﴾

Au wanawahusudu watu (Nabiy Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم  na Waumini) kwa yale Aliyowapa Allaah katika Fadhila Zake? [An-Nisaa: 54]

 

وعن أَبي هريرة رضي اللهُ عنه: أنَّ النَّبيَّ صلى الله عليه وسلم قَالَ : (( إيَّاكُمْ وَالحَسَدَ ؛ فَإنَّ الحَسَدَ يَأكُلُ الحَسَنَاتِ كَمَا تَأكُلُ النَّارُ الحَطَبَ )) أَوْ قَالَ : (( العُشْبَ )) . رواه أَبُو داود .

Imepokewa kutoka kwa Abu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kuwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Tahadharini hasadi, kwani hasadi hula hasanati (amali njema) kama moto unavyokula kuni." au alisema: "Majani/malisho." [Abuu Daawuwd]

 

 

Share