Imaam Ibn Taymiyyah: Nani Mwenye Akili?

 

 Nani Mwenye Akili?

 

Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

Shaykh Al-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:

 

 

"Haitwi 'Mwenye Akili' isipokuwa yule mwenye kuijua khayr akaitaka, na akaijua shari akaiacha.
Na kwa hivyo, walisema watu wa Motoni:

وَقَالُوا لَوْ كُنَّا نَسْمَعُ أَوْ نَعْقِلُ مَا كُنَّا فِي أَصْحَابِ السَّعِيرِ﴿١٠﴾

  Na watasema: “Lau tungelikuwa tunasikiliza au tunatia akilini, tusingelikuwa katika watu wa motoni.”  [Al-Mulk: 10]

 

 

[Al-Fataawa, juz. 7, uk. 24]

 

 

 

Share