Imaam Ibn Rajab: Sha'baan: Kukithirisha Swawm Na Kusoma Qur-aan Sha'baan Kwa Maandalizi Ya Ramadhwaan

 

Kukiithirisha Swawm Na Kusoma Qur-aan Katika Sha'baan Kwa Maandalizi Ya Ramadhwaan

 

Imaam Ibn Rajab (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

Imaam Ibn Rajab (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Kwa kuwa Sha'baan ni kitangulizi cha Ramadhwaan, kisomo cha Qur-aan na Swawm katika Sha'baan ni yaliyohimizwa kama tufanyavyo katika Ramadhwaan."

 

 

[Latwaaif Al-Ma'arif, uk. 258]

 

 

Share